Logo
e-Immigration Portal
Hii ni huduma mpya inayomuwezesha muombaji kujaza Fomu ya Maombi ya Pasipoti kwa njia ya Kielektroniki akiwa mahali popote. Baada ya kujaza fomu hiyo, atatakiwa kuichapisha (Print) na kuiwasilisha pamoja na vielelezo vingine katika Ofisi ya Uhamiaji iliyo karibu naye kwa ajili ya kushughulikiwa maombi yake ya Pasipoti.

Kwa muongozo wa namna ya kujaza fomu kwa njia ya kielektroniki bofya hapa.

Kwa Mwombaji anayeanza kujaza fomu ya maombi ya Pasipoti kwa njia ya kielektroniki kwa mara ya kwanza (hata kama alishawahi kuwa na pasipoti).

Ombi Jipya

Kwa Mwombaji ambaye alishajaza fomu ya maombi ya pasipoti kwa njia ya kielktroniki na kufikia hatua ya kupatiwa Namba ya Ombi. Hatua hii itampa fursa ya kurekebisha taarifa zake au Kupakua na kuichapisha fomu yake. Ni hatua muhimu katika kuendeleza ombi la Mteja ambalo halikufikia hatua ya mwisho.

Endeleza Ombi

Kwa Mwombaji ambaye alishajaza fomu ya maombi ya pasipoti kwa njia ya kielktroniki na kufikia hatua ya kupatiwa Namba ya Ombi. Hatua hii itampa fursa ya kurekebisha taarifa zake au Kupakua na kuichapisha fomu yake. Ni hatua muhimu katika kuendeleza ombi la Mteja ambalo halikufikia hatua ya mwisho.

Angalia Ombi
Version 2024.3

Support Email: passporttanzania@immigration.go.tz